Soko la sungura nchini limekuwa pasua vichwa kwa kiasi kukubwa sana na kupelekea kupelekea kuwakatisha tamaa wafugaji wengi wa sungura kwa kuhofia kufuga kwa vingi hatimae kuishia kupata hasara pia kwa ukosefu wa masoko ya kuuza wanyama hao na mazao mengine yanayotokana na sungura mfano ngozi, nyama, mkojo n.k ...
Je unaushari gani au unamaoni gani juu ya swala hili la masoko.
Pia ikiwa unamasoko ya uhakika tuchek kwa maelezo zaidi kupita email: shayhandayran@gmail.com
0 comments:
Post a Comment